TAIFA STARS MAZOEZINI LEO UWANJA WA BOKO VETERANI


Winga wa Difaa Hassan El Jadida ya Morocco, Simon Msuva (kushoto) akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Sony Sugar ya Kenya, Hamisi Abdallah wakati wa mazoezi ya timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo Uwanja wa Boko Veterani, Bunju nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam

Nahodha wa Taifa Stars, mshambuliaji wa KRC Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta (kushoto) akipiga hesabu za kumtoroka beki wa Simba, Salim Mbonde 

Beki wa Yanga, Gardiel Michael akimtoka beki wa Simba, Erasto Nyoni leo 

Mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Hajib (kushoto) akiwania mpira dhidi ya Maganga wa Mbao FC 

Kiungo wa Azam FC, Himid Mao Mkami akimiliki mpira katikati ya wachezaji wenzake

Simon Msuva (kushoto) akimpita kwa ustadi Himid Mao katika mazoezi hayo ya kujiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Malawi Jumamosi ijayo 



READ MORE



from Habari Za Tanzania
vRead More

Comments

Popular This Week

HISTORIA YA WANGONI NA LILIPOTOKA JINA LA SONGEA | noreply@blogger.com (Lewis Mbonde)

MKEMIA MKUU: ‘Wanafunzi wanaoenda vyuoni wapimwe matumizi ya dawa za kulevya’ | Millardayo

Sina Beef Na Mange Kimambi Ananipenda Na Ananikubali : Wolper – Jicho La Uswazi | Mcinika Wa Lamar

KESI YA KUPINGA KUONDOLEWA CHANEL ZA NDANI KWENYE VISIMBUZI KUTAJWA OCTOBA 18 | Darmpya

MAMILIONI YA MFUKO WA JIMBO NYAMAGANA YAMWAGWA SOKO LA MLANGO MMOJA. | Darmpya

Kesi ya Aveva, Kaburu TAKUKURU yakiri upelelezi haujakamilika | Millardayo

Popular This Month

RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA BILL GATES NA KAIMU BALOZI WA MAREKANI NCHINI | MICHUZI BLOG

HISTORIA YA WANGONI NA LILIPOTOKA JINA LA SONGEA | noreply@blogger.com (Lewis Mbonde)

Dubai yazindua jengo refu zaidi duniani lenye ghorofa 75 | Darmpya

Birdman wa CashMoney anakuja Tanzania | Millardayo

Popular All Time

MPOGOLO AWATAKA VIONGOZI MKOANI DODOMA KUSHUKA CHINI KUIMARISHA MASHINA…WAKULIMA WA ZABIBU WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI. | Darmpya

KOROSHO TANI 68 ZAREJESHWA KWA WAKULIMA KWA KUKOSA UBORA | Darmpya

VIJIJI 20 MKOANI NJOMBE KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME UNAOFADHILIWA NA UJERUMANI | Darmpya

MSUVA AWA MTAMU APIGA MBILI PEKE YAKE, DIFAA EL JADIDA | Darmpya

MABONDIA WAWILI WA TANZANIA WACHEZEA KICHAPO USIKU MMOJA | Darmpya

“SIJAONA SIMBA YA KUIFUNGA AZAM KESHO” – NGAONA | Darmpya

MAFUNDI UMEME WATAKIWA KUWA NA LESENI YA EWURA KUPUNGUZA ‘VISHOKA’ NJOMBE | Darmpya

NYAMAGANA YAPATA KM 45 ZA MRADI WA UMEME VIJIJINI (REA) | Darmpya

BABA NA MWANAE NA SHEMEJI MTU WAHUKUMIWA MIAKA 30 JELA | Darmpya