Birdman wa CashMoney anakuja Tanzania | Millardayo
Rapper na Producer maarufu wa Marekani Bryan Williams a.k.a Birdman ambae Wasanii wengi wamepitia kwenye mikono yake akiwemo Lil Wayne, Nicki Minaj na Drake, ametangaza rasmi kuja Tanzania. Birdman ametoa tano za nguvu kwa upendo ambao nchi hizi za Afrika zimeuonyesha kwake Nigeria, Kenya, Tanzania, Gambia na Ghana na baada ya kuzipa tano za nguvu […]
Read more from millardayo.com
Read more from millardayo.com
Comments