BENKI YA NMB ,TAWI LA NELSON MANDELA MJINI MOSHI YASHEREHEKEA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA


Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Anna Mghwira akiwaongoza wageni wengine wakati wa kupata Chai iliyoandaliwa na Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela mjini Moshi ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja .

Baadhi ya Wateja wa Benki ya NMB wakipata Chai katika tawi la Nelson Mandela mjini Moshi.

Meneja wa NMB tawi la Nelson Mandela,Emmanuel Kishosha akimueleza jambo Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira wakati akimkaribisha kuzungumza na Wateja a Benki hiyo waliojumuika katika Chai ya asubuhi ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa Wateja.

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Anna Mghwira akizungumza na Wateja wa Benki ya NMB wakati wa Maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa Wateja iliyoanza Oktoba Mosi.

Baadhi ya Wateja wa Benki ya NMB pamoja na viongozi mbalimbali wakifuatilia hotuba ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro aliotoa wakati wa Maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa wateja katika Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela.

Meneja wa Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela mjini Moshi ,Emanuel Kishosha akielezea Historia ya Benki hiyo ilipotoka na wapi ilipo sasa kwa Wateja wa Benki hiyo .

Baadhi ya Viongozi wa Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela mjini Moshi.

Baadhi ya Wafanyakazi wa NMB tawi la Nelson Mandela mjini Moshi wakifurahia wiki ya Huduma kwa Wateja iliyoanza Oktoba mosi.

Meneja wa NMB tawi la Nelson Mandela akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Anna Mghwira cheti cha kutambua mchango wake wakati wa Maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa Wateja.

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira akionesha cheti chake alichokabidhiwa na Benki ya NMB.

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Anna Mghwira akikabidhi Vyeti kwa Wadu mbalimbali kwa niaba ya Benki ya NMB kwa kutambua mchango wao katika kufanikisha utendaji kazi wa Benki hiyo.

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira akikata Keki kwa ajili ya kuadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja katika Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela mjini Moshi.

Meneja wa Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela ,Emanuel Kishosha akimlisha keki mkuu wa Mko wa Kilimanjaro ,Ana Mghwira wakati wa maadhimisho hayo.

Meneja wa NMB tawi la Nelson Mandela ,Emanuel Kishosha akimlisha keki Mkuu wa wilaya ya Moshi ,Kippi Warioba katika maadhimisho hayo.

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Anna Mghwira akiwa katika picha ya pamoja na Wateja wa Benki hiyo na viongozi mbalmbal waliohudhuria kuanza kwa wiki ya Huduma kwa Wateja.

 

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Kanda ya Kaskazini.

READ MORE



from Habari Za Tanzania
vRead More

Comments

Popular This Week

IGP SIRRO:NCHI YETU IKO SALAMA, NA TUNAO UWEZO WA KUFANYA UCHUNGUZI | Darmpya

MBUNGE SINGIDA MAGHARIBI ELIBARIKI KINGU (CCM) AWEKA HISTORIA | Darmpya

TAWLA YATOA MAFUNZO YA JINSI YA KUSHUGHULIKIA WATOTO WALIO KATIKA UKINZANI NA SHERIA | VIJIMAMBO

Wasanii watakaokiwasha Tigo Fiesta jijini Mwanza watembelea Duka la Tigo leo. | Mrisho’s Photography

“Ukipata mshtuko wa moyo, usipopata huduma ndani ya dk 90 ni kifo” – JKCI | Millardayo

NYAMAGANA YAPATA KM 45 ZA MRADI WA UMEME VIJIJINI (REA) | Darmpya

KOROSHO TANI 68 ZAREJESHWA KWA WAKULIMA KWA KUKOSA UBORA | Darmpya

VIJIJI 20 MKOANI NJOMBE KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME UNAOFADHILIWA NA UJERUMANI | Darmpya

MSUVA AWA MTAMU APIGA MBILI PEKE YAKE, DIFAA EL JADIDA | Darmpya

Popular This Month

IGP SIRRO:NCHI YETU IKO SALAMA, NA TUNAO UWEZO WA KUFANYA UCHUNGUZI | Darmpya

TAWLA YATOA MAFUNZO YA JINSI YA KUSHUGHULIKIA WATOTO WALIO KATIKA UKINZANI NA SHERIA | VIJIMAMBO

MBUNGE SINGIDA MAGHARIBI ELIBARIKI KINGU (CCM) AWEKA HISTORIA | Darmpya

NYAMAGANA YAPATA KM 45 ZA MRADI WA UMEME VIJIJINI (REA) | Darmpya

Wasanii watakaokiwasha Tigo Fiesta jijini Mwanza watembelea Duka la Tigo leo. | Mrisho’s Photography

“Ukipata mshtuko wa moyo, usipopata huduma ndani ya dk 90 ni kifo” – JKCI | Millardayo

KOROSHO TANI 68 ZAREJESHWA KWA WAKULIMA KWA KUKOSA UBORA | Darmpya

VIJIJI 20 MKOANI NJOMBE KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME UNAOFADHILIWA NA UJERUMANI | Darmpya

Majeshi ya Iraq yapiga hatua kuishambulia IS

Popular All Time

MPOGOLO AWATAKA VIONGOZI MKOANI DODOMA KUSHUKA CHINI KUIMARISHA MASHINA…WAKULIMA WA ZABIBU WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI. | Darmpya

KOROSHO TANI 68 ZAREJESHWA KWA WAKULIMA KWA KUKOSA UBORA | Darmpya

MSUVA AWA MTAMU APIGA MBILI PEKE YAKE, DIFAA EL JADIDA | Darmpya

MABONDIA WAWILI WA TANZANIA WACHEZEA KICHAPO USIKU MMOJA | Darmpya

VIJIJI 20 MKOANI NJOMBE KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME UNAOFADHILIWA NA UJERUMANI | Darmpya

“SIJAONA SIMBA YA KUIFUNGA AZAM KESHO” – NGAONA | Darmpya

NYAMAGANA YAPATA KM 45 ZA MRADI WA UMEME VIJIJINI (REA) | Darmpya

BABA NA MWANAE NA SHEMEJI MTU WAHUKUMIWA MIAKA 30 JELA | Darmpya

MAFUNDI UMEME WATAKIWA KUWA NA LESENI YA EWURA KUPUNGUZA ‘VISHOKA’ NJOMBE | Darmpya