Liverpool wafanikiwa kumpata Naby Keita lakini watasubiri hadi 2018 huku Thomas Lemar naye akiwa njiani | Kicki_19

Share


Baada ya mvutano wa muda mrefu baina ya vilabu vya Liverpool na RB Leizpg hatimaye Liverpool wamefanikiwa kukubaliana na klabu hiyo kumnunua kiungo huyo.

Rb Leizpg walikataa ofa mbili ambapo moja inafahamika ilifikia kiasi cha £70m lakini sasa wamekubali kumtoa Keita kwenda Liverpool kwa ada ya £48m.

Hii ni rekodi mpya ya usajili katika klabu ya Liverpool baada ya ile ya Andy Caroll mwaka 2011 ambapo alisaini Liverpool kwa kiasi cha £35.

Lakini klabu hiyo ya Liverpool haitamtumia Keita hadi itakapofika mwezi July mwaka 2018, Leizpg wanataka kubaki na Keita katika msimu huu ambapo wapo katika michuano ya Champions League.

Huu ni usajili wa tatu kwa Liverpool kuufanya katika msimu huu wa ligi ambapo tayari walimnunua Mohamed Salah toka As Roma pamoja na Andrew Robertson toka Hull City.

Wakati Keita akielekea Liverpool klabu hiyo inatajwa kukaribia kukamilisha usajili wa kiungo Thomas Lemar ambapo inasemekana mabosi wanapambana ukamilike kabla ya tarehe ya mwisho ya usajili.

Monaco wanaonekana hawako tayari kumuachia Lemar aondoke lakini dau la £60m linaoneokana kuwavutia kumuuza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22.

READ MORE

Share



from AutoMedia Tanzania
via Read More

Comments

Popular This Week

JOHN HECHE:WATU HAWAKO SALAMA NCHI HII, NI BAADA YA MDOGO WAKE KUUAWA NA POLISI | Darmpya

“SIJAONA SIMBA YA KUIFUNGA AZAM KESHO” – NGAONA | Darmpya

DIWANI WA CCM APOTEZA MAISHA KWA AJALI ASUBUHI YA LEO. | Darmpya

IGP SIRRO:NCHI YETU IKO SALAMA, NA TUNAO UWEZO WA KUFANYA UCHUNGUZI | Darmpya

AUDIO | DJ Mwanga

MAHAKAMA NCHINI ZAMBIA YAAGIZA MWANAMUZIKI KOFII OLOMIDE KUKAMATWA. | Darmpya

RAIS NA MWENYEKITI WA CCM DKT MAGUFULI AENDESHA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CHAMA JIJINI DAR ES SALAAM LEO | noreply@blogger.com (Muhidin Sufiani)

MAVUNDE AAGIZA KUFANYIKA UCHUNGUZI, KUBAINI FEDHA ZA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA VIJANA ZILIPOKWENDA | Darmpya

VIDEO | DJ Mwanga

Popular This Month

AUDIO | DJ Mwanga

JOHN HECHE:WATU HAWAKO SALAMA NCHI HII, NI BAADA YA MDOGO WAKE KUUAWA NA POLISI | Darmpya

DIWANI WA CCM APOTEZA MAISHA KWA AJALI ASUBUHI YA LEO. | Darmpya

House Victimz – Victimized Vol.1 Album | AutoMedia Tanzania

MBUNGE KUBENEA AMUUMBUA RC MAKONDA , | Darmpya

SASA ZAMU YA WAKUU WA WILAYA, RAIS MAGUFULI AMTUMBUA DC KAHAMA | Darmpya

“SIJAONA SIMBA YA KUIFUNGA AZAM KESHO” – NGAONA | Darmpya

IGP SIRRO:NCHI YETU IKO SALAMA, NA TUNAO UWEZO WA KUFANYA UCHUNGUZI | Darmpya

MAHAKAMA NCHINI ZAMBIA YAAGIZA MWANAMUZIKI KOFII OLOMIDE KUKAMATWA. | Darmpya

Popular All Time

MPOGOLO AWATAKA VIONGOZI MKOANI DODOMA KUSHUKA CHINI KUIMARISHA MASHINA…WAKULIMA WA ZABIBU WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI. | Darmpya

KOROSHO TANI 68 ZAREJESHWA KWA WAKULIMA KWA KUKOSA UBORA | Darmpya

VIJIJI 20 MKOANI NJOMBE KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME UNAOFADHILIWA NA UJERUMANI | Darmpya

MSUVA AWA MTAMU APIGA MBILI PEKE YAKE, DIFAA EL JADIDA | Darmpya

MABONDIA WAWILI WA TANZANIA WACHEZEA KICHAPO USIKU MMOJA | Darmpya

“SIJAONA SIMBA YA KUIFUNGA AZAM KESHO” – NGAONA | Darmpya

MAFUNDI UMEME WATAKIWA KUWA NA LESENI YA EWURA KUPUNGUZA ‘VISHOKA’ NJOMBE | Darmpya

NYAMAGANA YAPATA KM 45 ZA MRADI WA UMEME VIJIJINI (REA) | Darmpya

BABA NA MWANAE NA SHEMEJI MTU WAHUKUMIWA MIAKA 30 JELA | Darmpya