Mourinho: Tulidhibiti mechi na kuwanyamazisha mashabiki wao



Mkufunzi wa man United Jose Mourinho
Image captionMkufunzi wa man United Jose Mourinho

Mkufunzi wa klabu ya Manchester United Jose Mourinho amesema kuwa timu yake ilidhibiti mpira pamoja na kufunga midomo ya mashabiki wa Anfield.

Akihojiwa baada ya mechi hiyo iliotoka sare ya bila kwa bila,Mourinho amesema kuwa ijapokuwa hakutarajia matokeo hayo timu yake ilifanikiwa kuizuia Liverpool kwa kudhibiti mchezo kwa muda mrefu.

''Tulifanikiwa kudhibiti kelele za mashabiki wa Anfield pamoja na mchezo wa timu yao''.

Mourinho amesema kuwa ijapokuwa wengi walidhani watashindwa timu yake iliodhibiti mpira na kuwapatia kibarua kigumu wapinzani wao.

Hatahivyo mkufunzi huyo amekiri kwamba safu ya ushambuliaji ya Manchester United haikuwa imara wakati wa mechi hiyo.

Man United ikichuana na Liverpool katika uga wa Anfield .Mechi hiyo ilikamilika katika sare ya bila kwa bilaImage copyrightGETTY IMAGES
Image captionMan United ikichuana na Liverpool katika uga wa Anfield .Mechi hiyo ilikamilika katika sare ya bila kwa bila

''Hatahivyo nadhani hatukuimarika vilivyo katika safu ya mbele.Nashukuru kwamba pointi yetu moja iliwazuia kupata tatu''.

Aliongezea kwamba timu yake ina kibarua kigumu katika uwanja wa Stamford bridge wikendi ijayo na hivyobasi watalazimika kuimarika.

Katika mechi hiyo Liverpool lifanikiwa kudhibiti mechi kwa asilimia 65 huku Manchester United ikidhibiti asilimia 35.

Comments

Popular This Week

IGP SIRRO:NCHI YETU IKO SALAMA, NA TUNAO UWEZO WA KUFANYA UCHUNGUZI | Darmpya

MBUNGE SINGIDA MAGHARIBI ELIBARIKI KINGU (CCM) AWEKA HISTORIA | Darmpya

TAWLA YATOA MAFUNZO YA JINSI YA KUSHUGHULIKIA WATOTO WALIO KATIKA UKINZANI NA SHERIA | VIJIMAMBO

Wasanii watakaokiwasha Tigo Fiesta jijini Mwanza watembelea Duka la Tigo leo. | Mrisho’s Photography

“Ukipata mshtuko wa moyo, usipopata huduma ndani ya dk 90 ni kifo” – JKCI | Millardayo

NYAMAGANA YAPATA KM 45 ZA MRADI WA UMEME VIJIJINI (REA) | Darmpya

KOROSHO TANI 68 ZAREJESHWA KWA WAKULIMA KWA KUKOSA UBORA | Darmpya

VIJIJI 20 MKOANI NJOMBE KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME UNAOFADHILIWA NA UJERUMANI | Darmpya

MSUVA AWA MTAMU APIGA MBILI PEKE YAKE, DIFAA EL JADIDA | Darmpya

Popular This Month

IGP SIRRO:NCHI YETU IKO SALAMA, NA TUNAO UWEZO WA KUFANYA UCHUNGUZI | Darmpya

TAWLA YATOA MAFUNZO YA JINSI YA KUSHUGHULIKIA WATOTO WALIO KATIKA UKINZANI NA SHERIA | VIJIMAMBO

MBUNGE SINGIDA MAGHARIBI ELIBARIKI KINGU (CCM) AWEKA HISTORIA | Darmpya

NYAMAGANA YAPATA KM 45 ZA MRADI WA UMEME VIJIJINI (REA) | Darmpya

Wasanii watakaokiwasha Tigo Fiesta jijini Mwanza watembelea Duka la Tigo leo. | Mrisho’s Photography

“Ukipata mshtuko wa moyo, usipopata huduma ndani ya dk 90 ni kifo” – JKCI | Millardayo

KOROSHO TANI 68 ZAREJESHWA KWA WAKULIMA KWA KUKOSA UBORA | Darmpya

VIJIJI 20 MKOANI NJOMBE KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME UNAOFADHILIWA NA UJERUMANI | Darmpya

Majeshi ya Iraq yapiga hatua kuishambulia IS

Popular All Time

MPOGOLO AWATAKA VIONGOZI MKOANI DODOMA KUSHUKA CHINI KUIMARISHA MASHINA…WAKULIMA WA ZABIBU WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI. | Darmpya

KOROSHO TANI 68 ZAREJESHWA KWA WAKULIMA KWA KUKOSA UBORA | Darmpya

MSUVA AWA MTAMU APIGA MBILI PEKE YAKE, DIFAA EL JADIDA | Darmpya

MABONDIA WAWILI WA TANZANIA WACHEZEA KICHAPO USIKU MMOJA | Darmpya

VIJIJI 20 MKOANI NJOMBE KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME UNAOFADHILIWA NA UJERUMANI | Darmpya

“SIJAONA SIMBA YA KUIFUNGA AZAM KESHO” – NGAONA | Darmpya

NYAMAGANA YAPATA KM 45 ZA MRADI WA UMEME VIJIJINI (REA) | Darmpya

BABA NA MWANAE NA SHEMEJI MTU WAHUKUMIWA MIAKA 30 JELA | Darmpya

MAFUNDI UMEME WATAKIWA KUWA NA LESENI YA EWURA KUPUNGUZA ‘VISHOKA’ NJOMBE | Darmpya