“Ukipata mshtuko wa moyo, usipopata huduma ndani ya dk 90 ni kifo” – JKCI | Millardayo
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Jakaya Kikwete ya Magonjwa ya Moyo JKCI Prof Mohammed Janabi ameeleza kuwa mtu anapopata mshtuko wa moyo, mshipa huo usipozibuliwa ndani ya dakika 90 mtu huyo lazima atapoteza maisha. Amesema hayo wakati Shirika la POSTA likitoa msaada wa pesa ya matibabu watoto wawili wenye ugonjwa wa moyo katika taasisi hiyo […]
Read more from millardayo.com
Read more from millardayo.com
Comments