Halotel wazindua huduma ya mpya ya Chips bando ndani ya Sabasaba | Andrew Chale

Share


Kampuni ya simu za mkononi ya Halotel  leo Julai 7, 2017, imezindua rasmi huduma mpya ya CHIPSI BANDO yenye kauli mbiu ‘Serereka na Chipsi bando,  tumia upendavyo” ambapo wateja wote wa Halotel watapata fursa ya kujiunga kwa bei rahisi ya Tsh. 100 pekee.

Wakieleza namna ya huduma hiyo mpya ya Chipsi bando, ndani ya maonesho ya 41 ya Kimataifa ya Biashara kwenye mabanda ya Sabasaba, Barabara ya Kilwa, Jijini Dar es Salaam,  ambapo wamesema kuwa, lengo ni kumwezesha kila mtanzania kufurahia huduma bora na kwa bei nafuu kabisa katika thamani ya pesa yake kwa kupata muda wa maongezi na data  za intaneti.

Huduma hiyo, mteja anaweza kujiunga kwa lisaa limoja  kwa Tsh. 100 na kuweza kupata: Dakika  za kwenda mitandao ya Halotel kwenda Halotel sekunde 200.

Pia kwa Tsh 100, kwa lisaa limoja mteja anaweza kupata dakika za kwenda mitandao mingine, sekunde 100, huku pia kwa Tsh. 100 hiyo hiyo, mteja kwa lisaa limoja, anaweza kupata huduma ya data ambayo ni MB 25.

Pia mteja  kwa thamani ya  Tsh. 100, anaweza kupata Halotel kwenda Halotel kuongea bila kikomo, kuanzia saa sita usiku mpaka saa 12 asubuhi.

“Mteja anaweza kujiunga kwa kupiga *148*66#. Ambapo atapata  orodha ya huduma atakayopenda kati ya hizo. Ambapo anaweza kuchagua huduma namba mbili katika orodh na atapata Chipsi bando na kuweza kujiunga. Hii ni kwa wateja wote wa mtandap wa Halotel popote pale walipo” walieleza Halotel.

Halotel pia inatoa huduma mbalimbali kwenye maonyesho hayo ikiwemo simu za mkononi na nyingine nyingi.

 

READ MORE

Share



from AutoMedia Tanzania
via Read More

Comments

Popular This Week

TFF YAIKOMALIA YANGA, YAITAKA IFANYE UCHAGUZI KUZIBA NAFASI ZILIZOACHWA WAZI. | Darmpya

WOLPER AKINUKISHA TENA. | Darmpya

TAFITI: Wanaosoma habari mitandaoni hupoteza kumbukumbu haraka kuliko magazetini | admin

MBUNGE SINGIDA MAGHARIBI ELIBARIKI KINGU (CCM) AWEKA HISTORIA | Darmpya

TAWLA YATOA MAFUNZO YA JINSI YA KUSHUGHULIKIA WATOTO WALIO KATIKA UKINZANI NA SHERIA | VIJIMAMBO

Popular This Month

MBUNGE SINGIDA MAGHARIBI ELIBARIKI KINGU (CCM) AWEKA HISTORIA | Darmpya

TAWLA YATOA MAFUNZO YA JINSI YA KUSHUGHULIKIA WATOTO WALIO KATIKA UKINZANI NA SHERIA | VIJIMAMBO

IGP SIRRO:NCHI YETU IKO SALAMA, NA TUNAO UWEZO WA KUFANYA UCHUNGUZI | Darmpya

Majeshi ya Iraq yapiga hatua kuishambulia IS

MAGAZETI YA LEO JUMANNE JULAI 11, 2017 | Pamoja Blog

NYAMAGANA YAPATA KM 45 ZA MRADI WA UMEME VIJIJINI (REA) | Darmpya

TFF YAIKOMALIA YANGA, YAITAKA IFANYE UCHAGUZI KUZIBA NAFASI ZILIZOACHWA WAZI. | Darmpya

Popular All Time

MPOGOLO AWATAKA VIONGOZI MKOANI DODOMA KUSHUKA CHINI KUIMARISHA MASHINA…WAKULIMA WA ZABIBU WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI. | Darmpya

KOROSHO TANI 68 ZAREJESHWA KWA WAKULIMA KWA KUKOSA UBORA | Darmpya

MSUVA AWA MTAMU APIGA MBILI PEKE YAKE, DIFAA EL JADIDA | Darmpya

MABONDIA WAWILI WA TANZANIA WACHEZEA KICHAPO USIKU MMOJA | Darmpya

VIJIJI 20 MKOANI NJOMBE KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME UNAOFADHILIWA NA UJERUMANI | Darmpya

“SIJAONA SIMBA YA KUIFUNGA AZAM KESHO” – NGAONA | Darmpya

NYAMAGANA YAPATA KM 45 ZA MRADI WA UMEME VIJIJINI (REA) | Darmpya

BABA NA MWANAE NA SHEMEJI MTU WAHUKUMIWA MIAKA 30 JELA | Darmpya

MAFUNDI UMEME WATAKIWA KUWA NA LESENI YA EWURA KUPUNGUZA ‘VISHOKA’ NJOMBE | Darmpya