TFF YAIKOMALIA YANGA, YAITAKA IFANYE UCHAGUZI KUZIBA NAFASI ZILIZOACHWA WAZI. | Darmpya

Shirikisho la Kabumbu nchini Tanzania (TFF) limeitaka klabu ya Yanga kufanya uchaguzi ili kuziba nafasi zilizoachwa wazi na viongozi wake waliojiuzuru, akiwemo aliyekuwa mwenyekiti wa klabu hiyo, Yusuf Manji.

Hayo yamebainishwa mapema siku ya leo kupitia barua ya Kaimu Katibu Mkuu wa TFF, Herman Julius kwenda kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya shirikisho hilo, Revocatus Kuuli, iliyoitaka klabu ya yanga kufanya uchaguzi huo kama sheria na kanuni za mpira nchini zinavyotaka.

Katika barua hiyo ya Herman Julius, klabu zingine zilizotakiwa kufanya uchaguzi ili kujaza nafasi za uongozi ni AFC ya Arusha na Coastal Union ya Tanga.

Klabu ya Yanga imekuwa ikiongozwa na Kaimu Mwenyekiti, Clement Sanga, kwa takribani mwaka mmoja sasa kufuatia kujiuzulu kwa aliyekuwa Mwenyekiti Yusuf Manji mwezi Mei mwaka jana.



from Dar Mpya Online TV

Comments

Popular This Week

WOLPER AKINUKISHA TENA. | Darmpya

TAFITI: Wanaosoma habari mitandaoni hupoteza kumbukumbu haraka kuliko magazetini | admin

MBUNGE SINGIDA MAGHARIBI ELIBARIKI KINGU (CCM) AWEKA HISTORIA | Darmpya

TAWLA YATOA MAFUNZO YA JINSI YA KUSHUGHULIKIA WATOTO WALIO KATIKA UKINZANI NA SHERIA | VIJIMAMBO

Popular This Month

MBUNGE SINGIDA MAGHARIBI ELIBARIKI KINGU (CCM) AWEKA HISTORIA | Darmpya

TAWLA YATOA MAFUNZO YA JINSI YA KUSHUGHULIKIA WATOTO WALIO KATIKA UKINZANI NA SHERIA | VIJIMAMBO

IGP SIRRO:NCHI YETU IKO SALAMA, NA TUNAO UWEZO WA KUFANYA UCHUNGUZI | Darmpya

Majeshi ya Iraq yapiga hatua kuishambulia IS

MAGAZETI YA LEO JUMANNE JULAI 11, 2017 | Pamoja Blog

NYAMAGANA YAPATA KM 45 ZA MRADI WA UMEME VIJIJINI (REA) | Darmpya

Wasanii watakaokiwasha Tigo Fiesta jijini Mwanza watembelea Duka la Tigo leo. | Mrisho’s Photography

Popular All Time

MPOGOLO AWATAKA VIONGOZI MKOANI DODOMA KUSHUKA CHINI KUIMARISHA MASHINA…WAKULIMA WA ZABIBU WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI. | Darmpya

KOROSHO TANI 68 ZAREJESHWA KWA WAKULIMA KWA KUKOSA UBORA | Darmpya

MSUVA AWA MTAMU APIGA MBILI PEKE YAKE, DIFAA EL JADIDA | Darmpya

MABONDIA WAWILI WA TANZANIA WACHEZEA KICHAPO USIKU MMOJA | Darmpya

VIJIJI 20 MKOANI NJOMBE KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME UNAOFADHILIWA NA UJERUMANI | Darmpya

“SIJAONA SIMBA YA KUIFUNGA AZAM KESHO” – NGAONA | Darmpya

NYAMAGANA YAPATA KM 45 ZA MRADI WA UMEME VIJIJINI (REA) | Darmpya

BABA NA MWANAE NA SHEMEJI MTU WAHUKUMIWA MIAKA 30 JELA | Darmpya

MAFUNDI UMEME WATAKIWA KUWA NA LESENI YA EWURA KUPUNGUZA ‘VISHOKA’ NJOMBE | Darmpya