Kilichofanya Naibu Spika Dr. Tulia atoe milioni 40 Mbeya | Millardayo
Hii imetoka kwenye jiji la Mbeya ambalo linaongozwa na Amos Makalla kama Mkuu wa mkoa ambapo taarifa ya leo muhusika mkuu ni Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr. Tulia Ackson. Dr. Tulia ameitembelea tena Mbeya na kwa kupitia TULIA TRUST akatoa shilingi milioni 40 baada ya kuumizwa sana moyo na hali aliyoikuta […]
Read more from millardayo.com
Read more from millardayo.com
Comments