KASHESHE: Mwenyekiti anaedaiwa kugawa viwanja kwa Wanawake wenye makalio makubwa aongea | Millardayo
Ni habari iliyosambaa sana kutoka Dodoma kuhusu Mwenyekiti wa Mtaa wa Mtakuja kata ya Chang’ombe Issa Yusuph kudaiwa kufanya upendeleo na kugawa viwanja kwa Wanawake wenye makalio makubwa. AyoTV na millardayo.com zimempata Mwenyekiti huyo na ameanza kwa kusema >>> “Kwanza ukweli kabisa mimi sigawi viwanja bali nasimamia haki za watu ili wapate Wananchi, wanaogawa ni […]
Read more from millardayo.com
Read more from millardayo.com
Comments