Hatimae Mbao FC imepata Basi lao wenyewe… gharama yake ni milioni 70 ( +picha 6 ) | Millardayo
Kwa timu yoyote ile ni muhimu kuwa na Basi lao wenyewe, hiyo itasababisha Wachezaji kusafiri kwa urahisi zaidi pamoja na kupunguza gharama za kupanda ndege au kukodi Basi jingine. Club ya soka ya Mbao FC leo Jumatano ya October 18 2017 imekabidhiwa mbele ya Naibu Waziri wa ardhi Angelina Mabula basi ambalo watalitumia katika safari […]
Read more from millardayo.com
Read more from millardayo.com
Comments