BREAKING: Kocha msaidizi Jackson Mayanja amejiuzulu Simba SC | Millardayo
Wekundu wa Msimbazi SimbaSC wakielekea mchezo wao wa saba wa Ligi Kuu Tanzania bara msimu wa 2017/2018 dhidi ya Njombe Mji, zimeripotiwa taarifa za kuhuzunisha kuhusu kocha wao msaidizi Mganda Jackson Mayanja kujiuzulu. Mayanja ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo ya ukocha msaidizi ndani ya Simba huku sababu zikitajwa kuwa ni zake binafsi na wala hakuna kingine […]
Read more from millardayo.com
Read more from millardayo.com
Comments