Posts

Showing posts with the label obama

Michelle Obama amkosoa Donald Trump.

Michelle Obama, mke wa rais wa Marekani, Barack Obama, amekosoa kauli ya Donald Trump ambayo amesema imewadhalalisha wanawake. Mgombea wa chama cha Republican anayetuhumiwa kuwanyanyasa kijinsia wanawake amesema analengwa na 'uongo wenye aibu' uliopangwa na mshindani wake kutoka chama cha Denocrat kupitia vyombo vya habari kwa minajili ya kumuangusha kisiasa. "Katika chama chohote kile unachotetea, sawa na Democrat, Republican au mgombea binafsi, hakuna mwanamke anastahili kudhalilishwa kwa namna hii," amesema mke wa Rais wa Marekani Barack Obama, katika hotuba aliyoitoa Alhamisi wiki hii. Michelle Obama ametoa hotuba hiyo kufuatia kauli chafu na yenye kejeli inayowadhalilisha wanawake iliyotolewa na Donald Trump mwaka 2005. Tangu maeneo yake hayo yawekwe wazi, Bw Trump ameshindwa kutuliza hali ya sintofahamu iliyosababishwa na kauli yake hiyo ndani ya chama chake pamoja na katika jamii nzima hasa wanawake nchini Marekani. Hali hii ilianza kuwa mbaya zaidi tangu Jumat...

Popular This Month

IGP SIRRO:NCHI YETU IKO SALAMA, NA TUNAO UWEZO WA KUFANYA UCHUNGUZI | Darmpya

TAWLA YATOA MAFUNZO YA JINSI YA KUSHUGHULIKIA WATOTO WALIO KATIKA UKINZANI NA SHERIA | VIJIMAMBO

MBUNGE SINGIDA MAGHARIBI ELIBARIKI KINGU (CCM) AWEKA HISTORIA | Darmpya

NYAMAGANA YAPATA KM 45 ZA MRADI WA UMEME VIJIJINI (REA) | Darmpya

Wasanii watakaokiwasha Tigo Fiesta jijini Mwanza watembelea Duka la Tigo leo. | Mrisho’s Photography

“Ukipata mshtuko wa moyo, usipopata huduma ndani ya dk 90 ni kifo” – JKCI | Millardayo

KOROSHO TANI 68 ZAREJESHWA KWA WAKULIMA KWA KUKOSA UBORA | Darmpya

VIJIJI 20 MKOANI NJOMBE KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME UNAOFADHILIWA NA UJERUMANI | Darmpya

Majeshi ya Iraq yapiga hatua kuishambulia IS

Popular All Time

MPOGOLO AWATAKA VIONGOZI MKOANI DODOMA KUSHUKA CHINI KUIMARISHA MASHINA…WAKULIMA WA ZABIBU WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI. | Darmpya

KOROSHO TANI 68 ZAREJESHWA KWA WAKULIMA KWA KUKOSA UBORA | Darmpya

MSUVA AWA MTAMU APIGA MBILI PEKE YAKE, DIFAA EL JADIDA | Darmpya

MABONDIA WAWILI WA TANZANIA WACHEZEA KICHAPO USIKU MMOJA | Darmpya

VIJIJI 20 MKOANI NJOMBE KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME UNAOFADHILIWA NA UJERUMANI | Darmpya

“SIJAONA SIMBA YA KUIFUNGA AZAM KESHO” – NGAONA | Darmpya

NYAMAGANA YAPATA KM 45 ZA MRADI WA UMEME VIJIJINI (REA) | Darmpya

BABA NA MWANAE NA SHEMEJI MTU WAHUKUMIWA MIAKA 30 JELA | Darmpya

MAFUNDI UMEME WATAKIWA KUWA NA LESENI YA EWURA KUPUNGUZA ‘VISHOKA’ NJOMBE | Darmpya