Posts

Showing posts with the label mwalimu

MWALIMU ASAKWA NA POLISI KILIMANJARO KWA KUMPA MIMBA MWANAFUNZI

Image
Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Wilbroad Mutafungwa By Fina Lyimo na Bahati Chume, Mwananchi mwananchipapers@mwananchi.co.tz Hai . Polisi mkoani Kilimanjaro  inamsaka mwalimu wa Shule ya Sekondari Lemira wilayani hapa anayetuhumiwa kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha nne na kukimbilia kusikojulikana. Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Wilbroad Mutafungwa alisema jana kuwa mzazi wa mwanafuzi huyo na mkuu wa shule wanashikiliwa ili kusaidia kupatikana kwa mawlimu huyo. Amesema mzazi aligundua kuwa mwanaye ana ujauzito wa miezi mitano na alipomuuliza alimwambia mhusika ni mwalimu wake. “Mzazi wa mtoto alimfuata mwalimu huyo aliyekubali kuwa ujauzito ni wake na kwamba atamuoa. Alimtaka aweke kwenye maandishi kuwa ujauzito ni wake na atamuoa,” alisema Mutafungwa. Amesema mwalimu huyo alikubali na kuandika kuwa atamuoa mwanafuzi atakapojifungua na kwamba, mkuu wa wilaya alipopata habari hizo alizifuatilia ili kujua sababu. Alisema alipoitwa kwa mkuu wa wilaya, mwalimu huyo a...

Popular This Month

IGP SIRRO:NCHI YETU IKO SALAMA, NA TUNAO UWEZO WA KUFANYA UCHUNGUZI | Darmpya

TAWLA YATOA MAFUNZO YA JINSI YA KUSHUGHULIKIA WATOTO WALIO KATIKA UKINZANI NA SHERIA | VIJIMAMBO

MBUNGE SINGIDA MAGHARIBI ELIBARIKI KINGU (CCM) AWEKA HISTORIA | Darmpya

NYAMAGANA YAPATA KM 45 ZA MRADI WA UMEME VIJIJINI (REA) | Darmpya

Wasanii watakaokiwasha Tigo Fiesta jijini Mwanza watembelea Duka la Tigo leo. | Mrisho’s Photography

“Ukipata mshtuko wa moyo, usipopata huduma ndani ya dk 90 ni kifo” – JKCI | Millardayo

KOROSHO TANI 68 ZAREJESHWA KWA WAKULIMA KWA KUKOSA UBORA | Darmpya

VIJIJI 20 MKOANI NJOMBE KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME UNAOFADHILIWA NA UJERUMANI | Darmpya

Majeshi ya Iraq yapiga hatua kuishambulia IS

Popular All Time

MPOGOLO AWATAKA VIONGOZI MKOANI DODOMA KUSHUKA CHINI KUIMARISHA MASHINA…WAKULIMA WA ZABIBU WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI. | Darmpya

KOROSHO TANI 68 ZAREJESHWA KWA WAKULIMA KWA KUKOSA UBORA | Darmpya

MSUVA AWA MTAMU APIGA MBILI PEKE YAKE, DIFAA EL JADIDA | Darmpya

MABONDIA WAWILI WA TANZANIA WACHEZEA KICHAPO USIKU MMOJA | Darmpya

VIJIJI 20 MKOANI NJOMBE KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME UNAOFADHILIWA NA UJERUMANI | Darmpya

“SIJAONA SIMBA YA KUIFUNGA AZAM KESHO” – NGAONA | Darmpya

NYAMAGANA YAPATA KM 45 ZA MRADI WA UMEME VIJIJINI (REA) | Darmpya

BABA NA MWANAE NA SHEMEJI MTU WAHUKUMIWA MIAKA 30 JELA | Darmpya

MAFUNDI UMEME WATAKIWA KUWA NA LESENI YA EWURA KUPUNGUZA ‘VISHOKA’ NJOMBE | Darmpya