Posts

Showing posts with the label donald

Clinton na Trump wataniana kwenye dhifa New York

Image
Image copyright AP Image caption Hafla hiyo huchangisha mamilioni ya dola kusaidia watoto wasio na uwezo na watu maskini Wagombea wakuu wa urais nchini Marekani Hillary Clinton na Donald Trump walirushiana vijembe kwa utani katika dhifa ya jioni iliyoandaliwa kuchangisha pesa za hisani. Walishiriki kwenye dhifa hiyo siku moja baada ya kushambuliana vikali kwenye mdahalo wa mwisho wa runinga. Bi Clinton alicheka sana Bw Trump alipomtania kuhusu hotuba za kulipwa na pia uchunguzi wa FBI kuhusu tuhuma kwamba alitumia barua pepe ya kibinafsi kwa shughuli rasmi. Lakini Bw Trump alizomewa alipofanya mzaha kwamba mpinzani huyo wake huwachukia Wakatoliki. Dhifa hiyo ya Wakfu wa Ukumbusho wa Alfred E Smith mjini New York hufanyika kila baada ya miaka minne na kuwashirikisha wagombea urais. Kuna desturi kwamba wagombea husimama na kutaniana, lakini mwana huu imeandaliwa wakati kumekuwa na uhasama mkubwa sana kwenye kampeni. Trump v Clinton: Nani anaongoza? Trump: Kura zinaibiwa vituoni Marekani ...

Clinton na Trump wataniana kwenye dhifa New York

Image
Image copyright AP Image caption Hafla hiyo huchangisha mamilioni ya dola kusaidia watoto wasio na uwezo na watu maskini Wagombea wakuu wa urais nchini Marekani Hillary Clinton na Donald Trump walirushiana vijembe kwa utani katika dhifa ya jioni iliyoandaliwa kuchangisha pesa za hisani. Walishiriki kwenye dhifa hiyo siku moja baada ya kushambuliana vikali kwenye mdahalo wa mwisho wa runinga. Bi Clinton alicheka sana Bw Trump alipomtania kuhusu hotuba za kulipwa na pia uchunguzi wa FBI kuhusu tuhuma kwamba alitumia barua pepe ya kibinafsi kwa shughuli rasmi. Lakini Bw Trump alizomewa alipofanya mzaha kwamba mpinzani huyo wake huwachukia Wakatoliki. Dhifa hiyo ya Wakfu wa Ukumbusho wa Alfred E Smith mjini New York hufanyika kila baada ya miaka minne na kuwashirikisha wagombea urais. Kuna desturi kwamba wagombea husimama na kutaniana, lakini mwana huu imeandaliwa wakati kumekuwa na uhasama mkubwa sana kwenye kampeni. Trump v Clinton: Nani anaongoza? Trump: Kura zinaibiwa vituoni Marekani ...

Wanawake wawili wamshtumu Donald Trump kuwapapasa kimapenzi

Image
na RFI Donald Trump, akiwa na bango mkononi lililoandikwa "wanawake pamoja na Trump", katika mkutano wa hadhara mjini Lakeland, Oktoba 12, 2016. REUTERS Gazeti la New York Times limechapishwa Alhamisi hii asubuhi ushahidi wa wanawake wawili ambao wanasema kuwa walishambuliwa kingono na Donald Trump. Mgombea urais wa chama cha Republican tayari ameumbuka na video ya mwaka 2005 ambapo anazungumzia mambo ya uasherati. Watu wengi nchini Marekani wanajiuliza kwa nini Donald Trump hakusikia ushauri mwema kutoka kwa wajumbe wa chama cha Republican kwa ajili yake, wale waliomshauri kufunga ukurasa wa kauli zake za uasharati na hivyo kuomba tu radhi kwa yale yaliyotokea? Mgombea huyo aliamua kulipiza kisasi, na kutoa wito katika mjadala wa mwisho kwa makahaba wa rais wa zamani wa Marekani Bill Clinton katika mwaka mwaka 1990. Matokeo ya kauli ya Bw Trump yameanza kujitokea. Wanawake leo wanamshtumu mgombea urais wa chama cha Republican aliwapapasa kimapenzi pila idhni yao. Katika gaze...

Popular This Month

IGP SIRRO:NCHI YETU IKO SALAMA, NA TUNAO UWEZO WA KUFANYA UCHUNGUZI | Darmpya

TAWLA YATOA MAFUNZO YA JINSI YA KUSHUGHULIKIA WATOTO WALIO KATIKA UKINZANI NA SHERIA | VIJIMAMBO

MBUNGE SINGIDA MAGHARIBI ELIBARIKI KINGU (CCM) AWEKA HISTORIA | Darmpya

NYAMAGANA YAPATA KM 45 ZA MRADI WA UMEME VIJIJINI (REA) | Darmpya

Wasanii watakaokiwasha Tigo Fiesta jijini Mwanza watembelea Duka la Tigo leo. | Mrisho’s Photography

“Ukipata mshtuko wa moyo, usipopata huduma ndani ya dk 90 ni kifo” – JKCI | Millardayo

KOROSHO TANI 68 ZAREJESHWA KWA WAKULIMA KWA KUKOSA UBORA | Darmpya

VIJIJI 20 MKOANI NJOMBE KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME UNAOFADHILIWA NA UJERUMANI | Darmpya

Majeshi ya Iraq yapiga hatua kuishambulia IS

Popular All Time

MPOGOLO AWATAKA VIONGOZI MKOANI DODOMA KUSHUKA CHINI KUIMARISHA MASHINA…WAKULIMA WA ZABIBU WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI. | Darmpya

KOROSHO TANI 68 ZAREJESHWA KWA WAKULIMA KWA KUKOSA UBORA | Darmpya

MSUVA AWA MTAMU APIGA MBILI PEKE YAKE, DIFAA EL JADIDA | Darmpya

MABONDIA WAWILI WA TANZANIA WACHEZEA KICHAPO USIKU MMOJA | Darmpya

VIJIJI 20 MKOANI NJOMBE KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME UNAOFADHILIWA NA UJERUMANI | Darmpya

“SIJAONA SIMBA YA KUIFUNGA AZAM KESHO” – NGAONA | Darmpya

NYAMAGANA YAPATA KM 45 ZA MRADI WA UMEME VIJIJINI (REA) | Darmpya

BABA NA MWANAE NA SHEMEJI MTU WAHUKUMIWA MIAKA 30 JELA | Darmpya

MAFUNDI UMEME WATAKIWA KUWA NA LESENI YA EWURA KUPUNGUZA ‘VISHOKA’ NJOMBE | Darmpya