Posts

Showing posts with the label barcelona

Uefa: Barcelona yaiua Manchester City ya kocha wake wa zamani

Image
Image caption Messi amefunga magoli 10 katika michezo nane ya mwisho ya ligi ya mabingwa Ulaya Michuano ya klabu bingwa ulaya imeendelea kwa michezo nane kupigwa ambapo Arsenal waliiadhibu Ludogorets Razgrad ya Bulgaria 6-0, wakati Mesut Ozil akipata hat trick. Barcelona nayo wakiwa nyumbani walimdhalilisha kocha wao wa zamani Pep Guardiola kwa kumpa kichapo cha 4-0, Messi nae akipiga hat-trick, ambapo katika mchezo huo ilishuhudiwa mlinzi wa Man city Claudio Bravo akilambwa kadi nyekundu huku pia mlinzi wa Barcelona aliyeingia akitokea benchi Jeremy Mathieu naye akizawadiwa kadi nyekundu. Image caption Bravo atakosa mchezo wa maruduiano Novemba 1 Makosa ya wazi ya mlinzi wa Celtic Kolo Toure yakaipa Borussia Monchengladbach ushindi wa mabao 2-0 wakiwa ugenini, magoli yakifungwa na Lars Stindl pamoja na Andre Hahn. Image caption Wachezaji wa Arsenal wakifurahia ushindi mnono Matokeo ya michezo mingine Bayern Munich 4-1 PSV Eindhoven Paris Saint-Germain 3-0 Basel Dynamo Kiev 0-2 Benfica...

Uefa: Barcelona yaiua Manchester City ya kocha wake wa zamani

Image
Image caption Messi amefunga magoli 10 katika michezo nane ya mwisho ya ligi ya mabingwa Ulaya Michuano ya klabu bingwa ulaya imeendelea kwa michezo nane kupigwa ambapo Arsenal waliiadhibu Ludogorets Razgrad ya Bulgaria 6-0, wakati Mesut Ozil akipata hat trick. Barcelona nayo wakiwa nyumbani walimdhalilisha kocha wao wa zamani Pep Guardiola kwa kumpa kichapo cha 4-0, Messi nae akipiga hat-trick, ambapo katika mchezo huo ilishuhudiwa mlinzi wa Man city Claudio Bravo akilambwa kadi nyekundu huku pia mlinzi wa Barcelona aliyeingia akitokea benchi Jeremy Mathieu naye akizawadiwa kadi nyekundu. Image caption Bravo atakosa mchezo wa maruduiano Novemba 1 Makosa ya wazi ya mlinzi wa Celtic Kolo Toure yakaipa Borussia Monchengladbach ushindi wa mabao 2-0 wakiwa ugenini, magoli yakifungwa na Lars Stindl pamoja na Andre Hahn. Image caption Wachezaji wa Arsenal wakifurahia ushindi mnono Matokeo ya michezo mingine Bayern Munich 4-1 PSV Eindhoven Paris Saint-Germain 3-0 Basel Dynamo Kiev 0-2 Benfica...

RATIBA LIGI KUU YA UINGEREZA OCTOBA 2016

SAT 15 OCT Chelsea V Leicester 12:30 kick off Arsenal V Swansea 15:00 kick off Bournemouth V Hull 15:00 kick off Man City V Everton 15:00 kick off Stoke V Sunderland 15:00 kick off West Brom V Tottenham 15:00 kick off Crystal Palace V West Ham 17:30 kick off SUN 16 OCT Middlesbrough V Watford 13:30 kick off Southampton V Burnley 16:00 kick off MON 17 OCT Liverpool V Man Utd 20:00 kick off SAT 22 OCT Bournemouth V Tottenham 12:30 kick off Arsenal V Middlesbrough 15:00 kick off Burnley V Everton 15:00 kick off Hull V Stoke 15:00 kick off Leicester V Crystal Palace 15:00 kick off Swansea V Watford 15:00 kick off West Ham V Sunderland 15:00 kick off Liverpool V West Brom 17:30 kick off SUN 23 OCT Man City V Southampton 13:30 kick off Chelsea V Man Utd 16:00 kick off SAT 29 OCT Sunderland V Arsenal 12:30 kick off Man Utd V Burnley 15:00 kick off Middlesbrough V Bournemouth 15:00 kick off Tottenham V Leicester 15:00 kick off Watford V Hull 15:00 kick off West Brom V Man City 15:00 kick off C...

Popular This Month

IGP SIRRO:NCHI YETU IKO SALAMA, NA TUNAO UWEZO WA KUFANYA UCHUNGUZI | Darmpya

TAWLA YATOA MAFUNZO YA JINSI YA KUSHUGHULIKIA WATOTO WALIO KATIKA UKINZANI NA SHERIA | VIJIMAMBO

MBUNGE SINGIDA MAGHARIBI ELIBARIKI KINGU (CCM) AWEKA HISTORIA | Darmpya

NYAMAGANA YAPATA KM 45 ZA MRADI WA UMEME VIJIJINI (REA) | Darmpya

Wasanii watakaokiwasha Tigo Fiesta jijini Mwanza watembelea Duka la Tigo leo. | Mrisho’s Photography

“Ukipata mshtuko wa moyo, usipopata huduma ndani ya dk 90 ni kifo” – JKCI | Millardayo

KOROSHO TANI 68 ZAREJESHWA KWA WAKULIMA KWA KUKOSA UBORA | Darmpya

VIJIJI 20 MKOANI NJOMBE KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME UNAOFADHILIWA NA UJERUMANI | Darmpya

Majeshi ya Iraq yapiga hatua kuishambulia IS

Popular All Time

MPOGOLO AWATAKA VIONGOZI MKOANI DODOMA KUSHUKA CHINI KUIMARISHA MASHINA…WAKULIMA WA ZABIBU WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI. | Darmpya

KOROSHO TANI 68 ZAREJESHWA KWA WAKULIMA KWA KUKOSA UBORA | Darmpya

MSUVA AWA MTAMU APIGA MBILI PEKE YAKE, DIFAA EL JADIDA | Darmpya

MABONDIA WAWILI WA TANZANIA WACHEZEA KICHAPO USIKU MMOJA | Darmpya

VIJIJI 20 MKOANI NJOMBE KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME UNAOFADHILIWA NA UJERUMANI | Darmpya

“SIJAONA SIMBA YA KUIFUNGA AZAM KESHO” – NGAONA | Darmpya

NYAMAGANA YAPATA KM 45 ZA MRADI WA UMEME VIJIJINI (REA) | Darmpya

BABA NA MWANAE NA SHEMEJI MTU WAHUKUMIWA MIAKA 30 JELA | Darmpya

MAFUNDI UMEME WATAKIWA KUWA NA LESENI YA EWURA KUPUNGUZA ‘VISHOKA’ NJOMBE | Darmpya